ushapotezanaHabari za Buigiri? Gerald hajambo?
Haha hha haaa kuna jamaa zangu wapo Dodoma wanalima vitunguu walikuwa wanatafuta soko Nairobi nikajua wewe ni mmoja waoushapotezana
Wadau 2saidiane namna ya kuuza vitunguu nairobi,kama kuna mtu anafanya biashara hiyo au mwenye ideas kuhusu hiyo mambo.