Msaada:procedures za kuuza vitunguu nairobi

Sanjally

Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
97
Reaction score
17
Wadau 2saidiane namna ya kuuza vitunguu nairobi,kama kuna mtu anafanya biashara hiyo au mwenye ideas kuhusu hiyo mambo.
 
mkuu .... ukihitaji PP Mesh bags kwa ajili ya ku-pack vitunguu na agro-products tuwasiliane ... ni-pm
 
Ucjal mdizi,ka vp tupia namba yako ya cm hapo juu
 
Wadau 2saidiane namna ya kuuza vitunguu nairobi,kama kuna mtu anafanya biashara hiyo au mwenye ideas kuhusu hiyo mambo.

hicho kiyunguu kiko wapi? maana kuna wafanyabiashara wa Kenya wanaokuja kununua vitunguu Tz, na kama unataka kusafirisha mwenyewe...inabidi uwe vizuri kipesa...na uwe na mru unayewasiliana nae (Dalali/ au trader) huko Nairobi..othewise itakusumbua..kwa msaada zaidi tuwasiliane au wacheki jamaa wa Farm Concern International..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…