Kuna hizi pump unaweka mpira kwenye maji halafu unakuwa unakanyaga au kukandamiza kwa mikono kuvuta maji toka kwenye kajisima, nimewahi kuziona wakati fulani. Bajeti yangu ni ndogo haizidi laki 1, msaada pls.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.