Habari ,kuna mtu alichomoa betri ya gari,baada ya kurejesha,Radio imeleta hiyo shida,camera ya Reverse haionyeshi,radio inapiga kama kawaida.
Aina ni NDCN-W54
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.