ma-effect
Senior Member
- Jul 15, 2014
- 100
- 137
Juzi jioni rafiki yangu alikunywa Konyagi. Kwa navyoujua unywaji wake, mi naona alikunywa kwa wastani. Tatizo limejitokeza jana.
Vidole vyake vilinata vikawa havichezi, mkono nao ukawa umeganda, mdomo akawa hawezi kuachama, akawa analalamika kuwa mishipa ya kichwa inamuuma sana, akawa anapumua kwa nguvu na kuongea kwa shida kisa haachami vzuri.
Nilimpeleka hospitali wakampima BP wakakuta iko kawaida, Sukari nayo ilikua kawaida. Baada ya kama lisaa hivi, vidole vikaanza react, akawa anaachama fresh.
Naomba niulize tatizo ilikua ni nini hasa?!! Au ni effect ya Konyagi aliyokunywa?! Na alimwambia daktari kuwa hajawahi pata ajali akaumiza kichwa.
Vidole vyake vilinata vikawa havichezi, mkono nao ukawa umeganda, mdomo akawa hawezi kuachama, akawa analalamika kuwa mishipa ya kichwa inamuuma sana, akawa anapumua kwa nguvu na kuongea kwa shida kisa haachami vzuri.
Nilimpeleka hospitali wakampima BP wakakuta iko kawaida, Sukari nayo ilikua kawaida. Baada ya kama lisaa hivi, vidole vikaanza react, akawa anaachama fresh.
Naomba niulize tatizo ilikua ni nini hasa?!! Au ni effect ya Konyagi aliyokunywa?! Na alimwambia daktari kuwa hajawahi pata ajali akaumiza kichwa.