Msaada: Rangi ya gari inayovumilia jua la Dar!

Hili jua la hapa mjini ni tatizo kubwa sana kuna fundi alimponda mwenzake kapiga vibaya nikampa yeye arudie chuma imeanza kupoteza ung'aavu tena, waliniambia shida ni chumvi maana napaki pembeni ya bahari ila naamini ni jua maana kila nikifungua gari wakati wa kuondokq inakua kama oven
 
Kama bodi Haina shida nakushauri usipige rangi kwanza jaribu kuipiga polish inaweza ridi kwenye Hali yake vizuri tu boss
 
Kama bodi Haina shida nakushauri usipige rangi kwanza jaribu kuipiga polish inaweza ridi kwenye Hali yake vizuri tu boss

Poa mkuu basi nitajaribu hii kwanza
 

Sema mafundi wanaaoponda wenzao mara nyingi wanakuwaga chenga!
Nimejaribu kufanya research google, wanapendekeza light color( white au silver), au rangi yeyote yenye metallic finishes!

Hilo ni jua linapiga direct, maana kwangu roof haitamaniki ila pembeni , bonnet na boot viko poa tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…