Wateja wengi wanatokea Dar.Loliondo na vigwaza ni wilaya ya kibaha mkoa wa pwani sio dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wateja wengi wanatokea Dar.Loliondo na vigwaza ni wilaya ya kibaha mkoa wa pwani sio dar
Kibamba sehemu ganikibamba jumatano/alhamis
jumapili mnada wa mbuzi choma
Nice jana nilifikaJmos kino Biafra
Ahsante kwa ufafanuzi makiniHiyo mnayoiita minada sio minada ni MAGULIO. Gulio ni sehemu panapuzwa bidhaa mbalimbali siku maalumu ya wiki. Minada ni sehemu wanyama wanapouzwa. Kwa dsm. Minada ni Pugu. Vigwaza, Pwani pia ni mnada. Mnadani ukinunua mfugo unatozwa ushuru. Vingungutinsio mnada kwa sababu pale wanapouza mbuzi wanauza kinyume cha sheria. Na mbuzi wale wanakuwa wamenunuliwa Pugu mnadani.
Nice𝐽𝑢𝑚𝑎𝑝𝑖𝑙𝑖 𝑆𝑎𝑙𝑎𝑠𝑎𝑙𝑎
Huu mnada unawatu wengi sana kila alhamus napata shida sana kupita pale jioni ninaporudi kutoka job.Alhamisi
kigamboni mnadani
Mkuu hao mbuzi choma wanakuwa mnadani au wanakuwa kwenye bar?Kibamba mbuzi choma Ni jumatano na jumapili.
Loliondo mbuzi choma Ni jumamosi.
Vigwaza mbuzi choma ORIGINAL +++ Ni alhamisi.
Fuatana namimi. Angalizo, kwenye mbuzi choma kote Kuna beer.
Kibamba hakuna gesti.
jumatano kibamba chamaKibamba sehemu gani
Sana siku ya alhamisi ni fujo ila ndio utafutaji maisha lazima yaendelee. Vitu bei cheeHuu mnada unawatu wengi sana kila alhamus napata shida sana kupita pale jioni ninaporudi kutoka job.
Mnadani Kaka.Mkuu hao mbuzi choma wanakuwa mnadani au wanakuwa kwenye bar?
Kibamba io auMnadani Kaka.
Elfu 16 watu wawili wanaume wabeba zege mjipange ili kuimaliza.
Ashua elfu 6
Utumbo choma elfu 5
Beer local 2
Konyagi ndogo 5
Dada poa maelewano.
Bei Ni zile zile minada yote. Hata wachoma nyama Ni walewale, actually hata sisi walaji Ni walewale.Kibamba io au