Ntapata wapi boss hio 9s?Bei kubwa inaendana na note 9s yenye uwezo mkubwa kuliko hii ulioposti.
aliexpressNtapata wapi boss hio 9s?
Natumia note 8 pro chinese version inapiga mzigo mpaka inaboa. Kazi kwako tu mkuu. Sema kuna apps nyingi ambazo ni inbuilt za kichina lakini kwangu sio tatizo maana tangu nimeinunua sijawahi kuzifungua hizo apps. Pia Playstore sio inbuilt software hivyo unai-install manually amabyo ni easy sana ndani ya sekunde tu.Habar wadau,
Nimeipenda simu ya xiaomi redmi note 8 pro ila ni china version
Bei yake 450,000
Kabla ya kufanya manunuzi napenda kufahamu China version ya xiaomi itashika band za Tanzania?
Pia bei hio ni reasonable kwa simu hio
Ushauri wadau.
Hiyo note 9s unayozungumzia hapa ni Samsung au ni kampuni gani?Bei kubwa inaendana na note 9s yenye uwezo mkubwa kuliko hii ulioposti.
Redmi note 9s ya xiaomiHiyo note 9s unayozungumzia hapa ni Samsung au ni kampuni gani?
4g ya tigo inakama uzur na Airtel?Natumia note 8 pro chinese version inapiga mzigo mpaka inaboa. Kazi kwako tu mkuu. Sema kuna apps nyingi ambazo ni inbuilt za kichina lakini kwangu sio tatizo maana tangu nimeinunua sijawahi kuzifungua hizo apps. Pia Playstore sio inbuilt software hivyo unai-install manually amabyo ni easy sana ndani ya sekunde tu.
Note 9s ni ndgo kwa note 8mzee pro zinaenda pro series nyenzakeBei kubwa inaendana na note 9s yenye uwezo mkubwa kuliko hii ulioposti.
Note 8 Pro inaizidi Note 9s kwenye camera. 64MP kwenye note 8 Pro vs 48MP kwenye 9s. Lakini hata hapo bado note 9s inachukua picha nzuri kuliko note 8 pro.Note 9s ni ndgo kwa note 8mzee pro zinaenda pro series nyenzake
Note 8 pro inatumia SoC ya mediateck ya Mediatek Helio G90T ambayo ni 12nm wakati note 9s inatumia snapdragon 720g ambayo ni 8nm.Note 9s ni ndgo kwa note 8mzee pro zinaenda pro series nyenzake
AliexpressWapi nitapata note 9s mpya kwa laki 5?
Dar hamna mtu anaziuza mpaka niagize?Aliexpress
Dar zipo ila ni 600k mpk 700kDar hamna mtu anaziuza mpaka niagize?
Zote zinakamata kwa fujo. Yaani kwa ufupi hakuna tatizo kabisa isipokuwa hizo apps za kichina huenda zikawa kero kwako maana sometimes zina-pop up4g ya tigo inakama uzur na Airtel?