kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Wapendwa
Leo nimeingia hili jukwaa
Huwa napenda kuuliza jambo kabla sijafanya utekelezaji
Waswahili walisema kuuliza si ujinga mimi hizi sabuni niliona zikipigiwa promo na jamaa mmoja wanasema zinatoa madoa jee ni kweli?
Mlowahi kutumia nambieni ni kweli?Zinasaidia nini haswa?
Leo nimeingia hili jukwaa
Huwa napenda kuuliza jambo kabla sijafanya utekelezaji
Waswahili walisema kuuliza si ujinga mimi hizi sabuni niliona zikipigiwa promo na jamaa mmoja wanasema zinatoa madoa jee ni kweli?
Mlowahi kutumia nambieni ni kweli?Zinasaidia nini haswa?