Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Imejilock. Na password yake ni 2000. Siwezi kufanya chochote napokea simu tu. Ikitaka passwaord nikiweka inaniambia nijaribu baada ya sec 30. Kila nikijaribu inarudia tena hivyo hivyo. Kama kuna maujanja mnisaidie tafadhali.
Chief-Mkwawa
reyzzap
Chief-Mkwawa
reyzzap