Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samsung A10s ni bonge moja la simuMimi ni mgeni kwenye hizi simu aina ya SAMSUNG kuna zinazoanzia na S..... zingine A.... mfano S-5 na A30 na nasikia tena kuna A7 ipi kati ya simu hizi ni Bora???
Mimi ni mgeni kwenye hizi simu aina ya SAMSUNG kuna zinazoanzia na S..... zingine A.... mfano S-5 na A30 na nasikia tena kuna A7 ipi kati ya simu hizi ni Bora???
Tunatetea brand zetu
A10 ndiyo simu hiyo A10s na li mtk lake takataka
Mimi ni mgeni kwenye hizi simu aina ya SAMSUNG kuna zinazoanzia na S..... zingine A.... mfano S-5 na A30 na nasikia tena kuna A7 ipi kati ya simu hizi ni Bora???
Ndiyo fact nzuri umbo lakini kilichomo ni hasara ina mtk chip
Mtk chip maana yake niniNdiyo fact nzuri umbo lakini kilichomo ni hasara ina mtk chip
Cheapest chip zinazotumika kwenye low end phones za bei rahis kama tecno hata za bei ghali tecno wanatumia mtk, na samsung uwa anazitumia kwenye simu za bei rahisi, utazikuta kwenye simu nyingi za kichina