msaada sauti imekauka na baadaye kuwa nzito

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
juzi usiku nilikunywa bia moja kwa mara ya kwanza
mimi uwa sinywi bia.
nikaamka kichwa kinauma na kizito nikaambiwa ninywe supu ikawa angalau kidogo. kichwa kilivyozidi nikanywa dawa ya maumivu.
kichwa kikapona sauti ikakauka nikanywa chai ya tangawizi.
sasa hivi sauti imekuwa nzito na mbaya msaada plz.

sirudii tena kuonja bia. pia najishauri ninywe maji baridi au moto
 
Kwa kua umeshasema hunywi tena bia sitakushauri...wenzio tuna miaka 45 kwenye kilaji na ndo kwanza sauti zinazidi kuwa nyororoooo kama za watoto wachanga!
 
Kwa kua umeshasema hunywi tena bia sitakushauri...wenzio tuna miaka 45 kwenye kilaji na ndo kwanza sauti zinazidi kuwa nyororoooo kama za watoto wachanga!

mkuu sema tu ukweli kuwa una hisa zako pale tbl kwahiyo unaogopa wateja watapunguwa na gawio lako litapunguwa pia!
 
kula mayai mabichi + asali
 
mkuu sema tu ukweli kuwa una hisa zako pale tbl kwahiyo unaogopa wateja watapunguwa na gawio lako litapunguwa pia!

Unajua uzuri wa hisa ni kwamba mwenye nyingi hatakubali biashara iendeshwe kwa hasara so the more kiwanda kinacheua ndivyo na gawio linaongezeka...

Huyu jamaa asisingizie bia,juzi kati kaja binti mmoja hapa na kummiminia sifa kibao,kisha akatoweka jamvini for a while,tutaamini vipi kama sauti haikukaukia kwenye huba huko? Money Stunna hebu funguka vizuri tujue kiini cha tatizo ili upate apropriate tiba...
 
Last edited by a moderator:
Yanga wamekunywa Kilimanjaro za Milioni 98, na wanapeta tu... Pole sana...lamba maji mengi, sauti itarejea...
 
Dalili mojawapo ya kansa ya koo ni kubadilika sauti kwa nzito..
 
Dalili mojawapo ya kansa ya koo ni kubadilika sauti kwa nzito..

uzito umepotea ila imebaki kuwa mbaya siyo kawaida kama siku zote na sikuwai kuwa hivo ni hiyo bia moja imefanya hivo
 

mkuu sababu ni hiyo bia moja wala si mahaba
 
Last edited by a moderator:
uzito umepotea ila imebaki kuwa mbaya siyo kawaida kama siku zote na sikuwai kuwa hivo ni hiyo bia moja imefanya hivo
sasa wewe mpaka umri huo ulikua hujawahi kunywa alcohol,nakujichanganya kote huko?.

Anyway hayo makitu achana nayo yashakukataa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…