msaada sauti imekauka na baadaye kuwa nzito

sasa wewe mpaka umri huo ulikua hujawahi kunywa alcohol,nakujichanganya kote huko?.

Anyway hayo makitu achana nayo yashakukataa.

uwa nakunywa wine tu. bia nimekunywa kwa mara ya kwanza juzi
 
Kumbe unajua wat to drink long kipindi,me mwenyewe bia sigusi,ni majanga plus
 
Pole,sauti itarudi tu yenyewe taratibu usifanye papara,kunywa maji ya moto uchanganye asali na limau!

Asante nimepona kabisa nimefanya kama ulivyoniambia yani ata nashangaa nimepona mapema hali ilikuwa mbaya sasa naweza ata kupiga ndulu.

shukrani weweeeeeeeeeeeeeeeee nimefurahi sana yani nilikuwa nashindwa ata kuongea na simu vizuri.
 
Asante nimepona kabisa nimefanya kama ulivyoniambia yani ata nashangaa nimepona mapema hali ilikuwa mbaya sasa naweza ata kupiga ndulu.

shukrani weweeeeeeeeeeeeeeeee nimefurahi sana yani nilikuwa nashindwa ata kuongea na simu vizuri.
Karibu,I am glad my advice could be of help to you Money Stunna!Have a nice day!
 
Last edited by a moderator:
Ow thts good to hear...JF wataalamu wapo wengi tu kumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…