Ndugu zangu nimechaguliwa kwenye hz scholarshp bt sijui pakuanzia sijui natakiwa kufanya maandalizi gani nasikia tu chuo mwezi wa kwanza mi nipo mkoani anaejua chochote anijuze tafadhari
ina maana wewe dunia yako ni hii Tanzania,, hujui kwamba kireno ni international language inayoweza kukupa credit ya kuweza kupiga kaz sehem nying dunian,,??