Msaada: Sehemu iliyofanyiwa upasuaji kutoa usaha na nyuzi

Mparee Halisi

Senior Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
104
Reaction score
8
Ni miezi miwili sasa tangu Mke wangu ajifungue kwa njia ya upasuaji.Baada ya wiki 2 hiv kikawa kimepona kabsa kwa juu,la kushangaza ni kuwa ile sehemu baada ya mwezi na wiki 1 kunatokea na vitobo vidogo sana vinavyotoa usaha na baadae hutoa nyuzi,Kwa wale wataalam nisaidieni hapo.
 
Usingojee Ushauri wa watu humu ndani Kama unataka mke wako apone mpeleke Tena Hapo Hospitali walipomfanyia Operesheni na kwa kumtowa nyuzi itakuwa umefanya jambo la maana kuliko kungojea kupewa ushauri. Ushauri mwengine humu jamvini ni bad Advice uwe muangalifu sana.
 
unataka ushauri?weka tindikali kutibu sepsis hiyo.,Just kidding,mambo kama hzo si zakujichelewesha hapa kusubiri ushauri,mzizi mkavu amesema vizuri.
 
Kimbia hospitali haraka. Unaona jambo hatari kama hilo unakua na muda wa kuandika message!
 
Nenda kwa yule daktari aliyemfanyia upasuaji kwa matibabu
 
Jamni mbona mnakuwa sio waoga hivi hali kama hiyo hujampeleka mtu hospital unangoja ushauri humu ndani ? roho haina spare jamani
 
Labda ana kisukari, mrudishe hospital haraka.
 
Hasara roho kaka pesa makaratasi em nenda alipofanyiwa operation faster..usichelewe khee
 
Nenda hospitali mkuu siyo dalili nzuri ila mrudishe kwa huyo huyo aliyemfanyia
 
usiogope sana nikwambie vidonda vya operations huwa nichange sometimes na huwa wanasema ukiona umemaliza 7days hakuna dalili yakupona ni tatizo unahitaji matibabu ya zaidi pia mke anaweza akawa na sukari Kama sio sukari yawezekana dawa alizoandikiwa aendelee kuzimeza baada ya kutoka hospital hakuzimeza zile dawa huwa zinasaidia kutibu kwa ndani kukausha kidonda na kukifanya kifunge sasa Kama hakuzitumia yawezayakamkumba hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…