Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Mwalimu wangu nilifikiri utaomba namba ufanye muamala wa kumrekebishia ratiba ya msosikakueleza lakini hapo kuwa hali yake kiuchumi siyo njema, ndiyo maana anakula msosi mmoja per day chapati mbili na maharage kila siku...!
Pole sana mkuu, Kunywa maji ya kutosha na fuata ushauri wa wadau with time naamini utakuwa sawa..!