Mwalimu wangu nilifikiri utaomba namba ufanye muamala wa kumrekebishia ratiba ya msosikakueleza lakini hapo kuwa hali yake kiuchumi siyo njema, ndiyo maana anakula msosi mmoja per day chapati mbili na maharage kila siku...!
Pole sana mkuu, Kunywa maji ya kutosha na fuata ushauri wa wadau with time naamini utakuwa sawa..!
Piga chini hayo machapati..kula viazi au mihogo..hilo tatizo utaliskia kwa jirani.Your correct brother msosi wangu ni chapati mbili maharage daily.
Hili hata piemu linawezekana mwalimu wangu, wewe tayari..?Mwalimu wangu nilifikiri utaomba namba ufanye muamala wa kumrekebishia ratiba ya msosi
BadoHili hata piemu linawezekana mwalimu wangu, wewe tayari..?
Nomaa sana!Kuna baadhi ya vitu si vya kuomba ushauri mtandaoni mkuu. Ni swala kukimbia la hospitali haraka iwezekenavyo.
Duh pole sanaDunia hii changamoto haziishii linatoka hili linaingia hili.
Mkuu kinyama kile hakijatoka bado nimesoma Google hapo changamoto ni msosi na maji kwa wingi sasa hali yangu kiuchumi ndio inachangia..
Nashukuru umenipa kitu.
DuhAge 26
Dalili zingine hamna zaidi ya hardtime ninayopitia nadhani mlo mmoja chapati mbili maharage.
Kumbe chapat sinazababisha choo kuwa kigumuPiga chini hayo machapati..kula viazi au mihogo..hilo tatizo utaliskia kwa jirani.
#MaendeleoHayanaChama