Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Mimi mtaa naufahamu ila kujua kua unaitwa kitumbini nilikua sijui kwakweli hapa ndo mmenifungua jina la mtaa.Du. Umeingia Dar lini? Eneo maarufu sana hili kwa bidhaa za jumla. Kariakoo na maeneo mengine ni ya juzi juzi tu lakini Kitumbini ndiyo chimbuko hasa la kununua bidhaa za jumla.
Nimekuja juzi na gari/fuso la mbao mkuu, ahsante kwa kunielekeza japo na kebehi juu, ila freshi👍Du. Umeingia Dar lini? Eneo maarufu sana hili kwa bidhaa za jumla. Kariakoo na maeneo mengine ni ya juzi juzi tu lakini Kitumbini ndiyo chimbuko hasa la kununua bidhaa za jumla.
Hata mimi mwenyewe huo mtaa naufahamu kiasi ila sikuwahi kusikia hilo jinaMimi mtaa naufahamu ila kujua kua unaitwa kitumbini nilikua sijui kwakweli hapa ndo mmenifungua jina la mtaa.
Vipi ulijaribu kucheki Huo mtaa waliokuelekeza ?Naombeni kama kuna anaejua wanapouza gift boxes kwa bei ya jumla pia[emoji41]
Heee!we lazima kwenu Ni chole road, Masaki.😁Hee kuna sehemu inaitwa kitumbini? Duh ni wapi huku mkuu?
Hahaa wapi kwetu Buza huku kariakoo nikafate nini miye?😂Heee!we lazima kwenu Ni chole road, Masaki.😁
Au uliza duka la Yusufal/?ndio kitumbin yenyeweThank you dear, sikuwahi kuusikia huu mtaa before
Ndio dear nlienda, feedback nmetoa huko juu.Vipi ulijaribu kucheki Huo mtaa waliokuelekeza ?
Hilo duka anauza niniAu uliza duka la Yusufal/?ndio kitumbin yenyewe