Msaada service ya mitsubishi Outlander 2007

Msaada service ya mitsubishi Outlander 2007

long live my love

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2014
Posts
1,064
Reaction score
1,012
Wakuu habari,hongera na poleni na majukumu ya kutafuta ridhiki ya kila siku.

Kufupisha habari ni kwamba nina hiyo gari ( Outlander 2007) na siijui vizuri kwakweli. Naomba msaada nataka nikafanye service kwa mara ya kwanza ya vitu vifuatavyo:

1. Engine oil
2. Oil ya gear box
3.Transimission oil
4. Oil ya usukani
Na oil zingine ambazo sizifahamu za gari hii.

Nawashukuru in advance.
 
Ukifungua kwenye bonet ya gari kuna sehemu kwenye injini huwa wanabandika karatasi ya maelezo ipi ni oil special ya gari lako fungua uangalie.

Mimi nakumbuka kwenye subaru yangu ilibandikwa ya castrol oil ndio nikawa naweka hiyo maana ilitoka japan moja kwa moja na kunifikia mimi (nikawa sina wa kumuuliza nikaweka kulingana na maelezo niliyo soma).

Kama ulinunua bongo hapa hapa muulize alie kuuzia.
 
Baadiilisha engine oil na oil filter tu.

Pia badilisha na air cleaner

Hizo oil nyingine ziangaliwe tu kama zipo kwenye hali gani, kama ni nzuri huwa haazibadilishwi mara kwa mara
 
Baadiilisha engine oil na oil filter tu.

Pia badilisha na air cleaner

Hizo oil nyingine ziangaliwe tu kama zipo kwenye hali gani, kama ni nzuri huwa haazibadilishwi mara kwa mara
Okay. Nisije sababisha matatizo.
 
1. 5W30 Full Synthetic, brand yoyote original. Kiasi Lita 4.5 ukibadirisha na filter.

2. ATF ngumu kushauri kwasababu haujasema transmission yake ni CVT au? CVT nyingi nimeona zinatumia CVTF-J4 ni OEM ya Mitsubishi. Gari zipo selective kwenye CVT fluid kua makini. JATCO wanatengeneza transmission za CVT nzuri ila challenge yao ndio hapo kwenye kuchagua fluid yake.
Sasa hawa JATCO wana fluid zake ndio ukipata ndio unyama.

NB: JATCO (Japan Transmission Company) ni kampuni la Kijapan linalotengeneza Automatic Transmissions mbalimbali ikiwemo CVT transmissions (hakuna kampuni jingine linalotengeneza CVT) na kuwauzia makampuni kama Nissan, Mitsubishi etc. Kwahiyo ukipata fluid zake, umepiga mshono.

Kiasi ni kutegemea na unatop au unabadirisha yote, ila full drain ni 4.2L hivi.

3. Namba 2 na 3 sawa.

4. Hapa chekiana na mafundi. Ila iwe PSF ya Mitsubishi.
 
.Hongera kwa kuzingatia services ukishajua oil gani zitumike nenda kwa authorized dealer au vituo vya mafuta kama total oryx na puma nunua oil mwenyewe...mafundi wengine si waaminifu watakuwekea oil ya bei chee na chini ya kiwango ili apige hela
 
.Hongera kwa kuzingatia services ukishajua oil gani zitumike nenda kwa authorized dealer au vituo vya mafuta kama total oryx na puma nunua oil mwenyewe...mafundi wengine si waaminifu watakuwekea oil ya bei chee na chini ya kiwango ili apige hela
🙏🙏🙏🙏
 
1. 5W30 Full Synthetic, brand yoyote original. Kiasi Lita 4.5 ukibadirisha na filter.

2. ATF ngumu kushauri kwasababu haujasema transmission yake ni CVT au? CVT nyingi nimeona zinatumia CVTF-J4 ni OEM ya Mitsubishi. Gari zipo selective kwenye CVT fluid kua makini. JATCO wanatengeneza transmission za CVT nzuri ila challenge yao ndio hapo kwenye kuchagua fluid yak...
Ubarikiwe. Nimepata elimu hapa.👏
 
Back
Top Bottom