lipo upande wa pili wa JWTZ, yaan KM3-4 kutoka kisarawe bodaboda buku tu. halina kitu nmelilima mwezi uliopita labda leo ndo nikapande maana mvua ndo imenyesha. nauza 2M. ni 20*20Lipo maeneo gan hapo kisalawe? Na lina nini shamba(mimea iliyopo)? Unauza sh ngap
Sent using Jamii Forums mobile app
ndicho ulichosahau ichi, mwambie mod abadili heading iwe 'nauza shamba'nauza 2M. ni 20*20
lipo upande wa pili wa JWTZ, yaan KM3-4 kutoka kisarawe bodaboda buku tu. halina kitu nmelilima mwezi uliopita labda leo ndo nikapande maana mvua ndo imenyesha. nauza 2M. ni 20*20