Black ma colour
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 733
- 663
Kanunue kitenge ushone ......Wadau habari.
Naamini wapo wanaofahamu mapigo haya naweza pata wap shati kama hili.
Natanguliza shukurani
Ts temporary postView attachment 994380
Sent using Jamii Forums mobile app
kolomije stand [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ni zuri hasa kwa mtu mweupeWadau habari.
Naamini wapo wanaofahamu mapigo haya naweza pata wap shati kama hili.
Natanguliza shukurani
Ts temporary postView attachment 994380
Sent using Jamii Forums mobile app
ni zuri hasa kwa mtu mweupe
Nenda duka la Emanuel pale mtaa wa Samora karibu na TTCL yanapatikanaHadi sasa sijapata jibu, sijui nifute au niwe na subra, jamani hata wadada mnashindwa nisaidia mawazo labda batiki.. Maana nawaza huenda ni batiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda duka la Emanuel pale mtaa wa Samora karibu na TTCL yanapatikana
Sent using Jamii Forums mobile app