Msaada: Shaving cream nzuri ya sehemu za siri

Je, ana umri gani? Isijekuwa mnachezea under 18.
 
Kumbe ni uwanja wa salamu. Hmjambo nyote humu????
 
Mimi huwa natumia pilipili,hebu jaribu nawewe kupaka sehemu unayotaka kunyoa
 
DURAK KREM is the best..hiyo akipaka anakaa dk 10 anaenda kuoga zinatoka zenyewe

helo mkuu nisaidie hiyo durak krem inauzwaje na je inapatikana maduka ya kawaida au ya madawa?
 
tusaidianeni maana wengine tukinyoa vipele mwanzo mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…