Naomba msaada kwa yeyote anayefahamu shule nzuri za private kwenye combination ya HGE. Mdogo wangu kachaguliwa government lakini nataka aende private high school.
Shule ya Swilla high school ya mkoani Mbeya, ada ni milion 1 na nusu, maadi mazuri ya kiroho na ipo vizur kwny perfomance na kwa uhakika zaidi google matokeo yake ya Alevel miaka yote ushuhudie div 1 na 2 za kufa mtu.
Aise kama ni wakike mpeleke mbeya secondar itasaidia hata chuo ka wana angalia kgezo cha shule either ka n private or gov nakushaur mpelen mby sec or sangu iko mby
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.