Msaada shule ya CBG

Msaada shule ya CBG

Janja PORI

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2011
Posts
825
Reaction score
246
wadau na dogo amefaulu comb CBG naombeni ushauri shule zip za serikali nzuri na je private
 
iko poa kwani mimi nimesoma hiyon nilichaguliwa kigonsera songea nikahamia Njos sasa hivi nipo udsm mwaka wa mwisho,huyo kwa udsm degree yeyote anaichukua kwenye college ya natural and applied sciences,,,shule za nzuri gvt ni njos,kibaha,na zingine wataongezea wadau kwni yeye alijaza shule gani na amepata daraja gani ili tuchambue kidogo.
 
mimi nimemaliza kitambo kidogo....sisi tulikuwa tunachagua kombi na shule kabla ya mtihani sasa hivi sijui kuna utaratibu gani na kipindi chetu kibaha haikuwa na cbg naona kuna mdau hapo kai_suggest...mimi nilisoma Tosamaganga kulikuwa hakuna walimu ila kulikuwa kuna mazingira mazuri ya kujisomea...nilipata division one kwa juhudi binafsi...nakumbka zilikuwa divison one tano mwaka huo baada ya one za cbg kuadimika kwa miaka kadhaa na nadhani ndio zilikuwa za mwisho...nikaenda wildlife udsm soon nikapata skolashipu kwa watu...niko ghaibuni napiga udaktari......mwambie dogo hiyo kombi hamna kulala.......pia kuna tambaza nayo ina hiyo kombi kama mambo hayajabadilika
 
mimi nimemaliza kitambo kidogo....sisi tulikuwa tunachagua kombi na shule kabla ya mtihani sasa hivi sijui kuna utaratibu gani na kipindi chetu kibaha haikuwa na cbg naona kuna mdau hapo kai_suggest...mimi nilisoma Tosamaganga kulikuwa hakuna walimu ila kulikuwa kuna mazingira mazuri ya kujisomea...nilipata division one kwa juhudi binafsi...nakumbka zilikuwa divison one tano mwaka huo baada ya one za cbg kuadimika kwa miaka kadhaa na nadhani ndio zilikuwa za mwisho...nikaenda wildlife udsm soon nikapata skolashipu kwa watu...niko ghaibuni napiga udaktari......mwambie dogo hiyo kombi hamna kulala.......pia kuna tambaza nayo ina hiyo kombi kama mambo hayajabadilika

ni kweli kombi isiyoitaji ucngizi na pia kuna shule kama usagara pia iyo kombi ipo
 
enzi zetu tulikuwa tunaita combination of beautiful girls, a-level kwa tz ni tuit kwenda mbele haijalishi umesoma govt au private, mwambie dogo achague walimu wazuri wa tuit atatoka tu huko private na hata govt schools walimu wanafanya business i mean mwl anaingia class kila kipindi lkn mwendo wa kinyonga baadae anakuja kuwaambia ili tumalize syllabus ni lazime tuanze madarasa ya ziada kwa malipo kiasi. huko tuit ukienda unakutana na wanafunzi wa minaki, pugu, azania, tambaza etc
 
Back
Top Bottom