Wana JF
natafuta shule ya private kidato cha tano, inayofundisha hii tahasusi mpya ya CBM.Ada yake isiwe ghali sana, kuna kijana wangu nataka nimpeleke na yeye anataka kusoma hiyo tahasusi.
mkuu mazingira pale ni mazuri tu,ada sina uhakika ila nadhani haizidi 1million kwa bweni.
wanafunzi ni wengi sana na walimu pia.tena ipo maeneo mazuri tu mjini ila kuna utulivu.
mkuu mazingira pale ni mazuri tu,ada sina uhakika ila nadhani haizidi 1million kwa bweni.
wanafunzi ni wengi sana na walimu pia.tena ipo maeneo mazuri tu mjini ila kuna utulivu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.