Msaada: Sijaona uume wa mtoto wangu (8) ukisimama asubuhi kwa zaidi ya miaka 3, ni hali ya kawaida au atakuwa na tatizo?

Msaada: Sijaona uume wa mtoto wangu (8) ukisimama asubuhi kwa zaidi ya miaka 3, ni hali ya kawaida au atakuwa na tatizo?

Hacha hofu wewe,dogo mzima huyo, mtoto hawezi kuwa hanithi bila sababu yoyote.hajawahi umwa,hafanyiwi michezo mibaya,shida yako umejijengea hofu tu.usije ukamshirikisha hofu yako.
 
Habari wakuu mim ni baba wa watoto wawili, huyu mototo wangu waukiume Umri miaka 8 sasa, wakat akiwa na Umri wa miaka4 mkilala ukiamka ukienda kuamasha akokojoe usiku ama akiamka asubuhi uume ulikuwa unamuona umesimama.

Sasa imepita miaka hasimamishi asubuhi hata ukienda kumuamsha akojoe au kumuamsha tu gafla huoni dalili zozote akati hapo awali ana miezi hadi miaka 4 alikuwa asubuhi tu anasimamisha au hata akiwa usingizini ukimuamsha unaona kasimamisha.

Wakuu nauliza hii ni hali ya kawaida kweli? Msaada wenu wa mawazo.
Dah! Jaman yupo wapi hoyo Mtoto njimtunuku tuone km atadisa au lah🙈
 
Wandugu na First born wangu ana 7 month ila nywele zina ota kati kati kama kiduku,,hili ni tatizo au ?
 
Back
Top Bottom