Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, hilo sijawahi kulisikiaAmbayo inasadikika tiba ni kuchovyeshwa kwa bi mkubwa wake kidogo😜.
Sio kawaida Dogo ana tatizo mfikishe kituo cha AfyaWakuu nauliza hii ni hali ya kawaida kweli? Msaada wenu wa mawazo.
Dogo ana matatizo ya afya ya kudindawewe mzazi unamiaka mingapi
Dah! Jaman yupo wapi hoyo Mtoto njimtunuku tuone km atadisa au lah🙈Habari wakuu mim ni baba wa watoto wawili, huyu mototo wangu waukiume Umri miaka 8 sasa, wakat akiwa na Umri wa miaka4 mkilala ukiamka ukienda kuamasha akokojoe usiku ama akiamka asubuhi uume ulikuwa unamuona umesimama.
Sasa imepita miaka hasimamishi asubuhi hata ukienda kumuamsha akojoe au kumuamsha tu gafla huoni dalili zozote akati hapo awali ana miezi hadi miaka 4 alikuwa asubuhi tu anasimamisha au hata akiwa usingizini ukimuamsha unaona kasimamisha.
Wakuu nauliza hii ni hali ya kawaida kweli? Msaada wenu wa mawazo.