WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,433
- 1,442
Habari wataalam wa afya.
Sikio langu lilikua linawasha kwa muda mrefu na kutoa nta za langu tofauti na kawaida (zinaelekea na rangi ya usawa)
Leo nilifanikiwa kumpeleka binti yangu hospital nikataka nami nilachunguze lakini bahati mbaya sikufanikiwa.
Niliporudi nyumbani sikio likaziba ghafla,kuona hivyo nikajaribu kuchokonoa kwa toothpick,nikatoa rundo la nta zilizoganda zenye harufu mbaya.Zilikua nyingi sana,sikio likazibuka kidogo tu badae likazipa tena.Nilijaribu kuweka maji kwa sindano lakini sikufanikiwa japo likazibuka kidogo na kuanza kusikia kwa mbali.
Naomba msaada nifanyaje aise linawasha sana kwa sasa na ndani limekua jekundu
Sikio langu lilikua linawasha kwa muda mrefu na kutoa nta za langu tofauti na kawaida (zinaelekea na rangi ya usawa)
Leo nilifanikiwa kumpeleka binti yangu hospital nikataka nami nilachunguze lakini bahati mbaya sikufanikiwa.
Niliporudi nyumbani sikio likaziba ghafla,kuona hivyo nikajaribu kuchokonoa kwa toothpick,nikatoa rundo la nta zilizoganda zenye harufu mbaya.Zilikua nyingi sana,sikio likazibuka kidogo tu badae likazipa tena.Nilijaribu kuweka maji kwa sindano lakini sikufanikiwa japo likazibuka kidogo na kuanza kusikia kwa mbali.
Naomba msaada nifanyaje aise linawasha sana kwa sasa na ndani limekua jekundu