Msaada: Siku moja baada ya kufanya mapenzi kichwa na mwili kuuma

Msaada: Siku moja baada ya kufanya mapenzi kichwa na mwili kuuma

Joined
Dec 27, 2014
Posts
38
Reaction score
3
Habarini za saa hizi wapendwa,

Jamani eti kichwa kuuma na mwili kuuma mara baada ya siku moja baada ya ku 'do' (kufanya mapenzi) ni dalili za ujauzito au ni kuchoka tu?

Maana naona ni mapema sana. Wenzangu mnaoelewa mnisaidie..

Heshima kwenu..
 
Siku moja baada hiyo sio ya kwendana na mimba.

Na kama unataka mimba acha kuifikiria.

Nenda kwa Daktari au viungo vyako havijazoea ku do, au haufanyi mazoezi pia.
 
kunywa maji mengi mkuu, usiwe mvivu kunya maji
 
Back
Top Bottom