Msaada: Siku ya sita tangu kuona hedhi na ujauzito kuna uhusiano gani

The-unknown

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
1,228
Reaction score
1,447
Naombeni msaada wenu wa mawazo wana jamii,

Nina girlfriend wangu ni mjamzito lakini mazingira ambayo ananiambia kuwa ana ujauzito ni tata,kwa maana kaanza period tarehe 13/8 na kumaliza tar16-17/8,then tarehe 18/8 nilikutana nae,na ni siku ambayo sidhani kama anaweza kupata ujauzito.

Msaada kama inaezekana kwa sababu zozote mtu kupata ujauzito siku ya sita au ananicheat?
 

Atakuwa Anakupima Utakubali Mimba Yake Au Utakataa.
 

kwanini hamuwezi ficha aibu zenu? sasa kutangaza kuwa umezini unaona sifa? kwa msaada zaidi nenda jukwaa la madokta
 
Dunia imeisha tena umeeka na lipicha kabisa ushamuasi Mungu daaah ni shydah haya nenda hospital kampime mkojo
 
Aisee we mkuu...
Kuna watu wanalia kila siku apate ata mimba ya kusingiziwa lakin wapi.
We siku moja tu..kitu! Hongera sana
 
Inawezekan ni kweli ana mimba lakini sio ya kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…