Pengine hivo ndivo ikivyitayarishwa oh maybevibatengenzwa kwa style nyingine siku nyingine uulize banaMi nilikula Tu na nikaipenda sijui iliandaliwa vipi lkn ilikuwa nzito nzito na mihogo ilikuwa laini
Yaani nyie kipindi cha mfungo ndio kipindi cha kula vizuri! Pia inashangaza sana kipindi cha kufunga budget ya chakula inakuwa kubwa kuliko miezi mingine.Salaam jamani,
Kina dada na kina mama mnisaidie jamani simple futari ya makorombwezo nataka wikiendi hii niitumie vizuri.tunapata tabu sie mabachela, tunafuturu Kwa ugali .
Thanks
Ahsante bro Kwa ushauri...nimekubaliAnataka futari simpo ati...sass wewe unaleta mlolongo wa kwenda Buguruni kununua viazi,aje amenye,achemshe nyama,kisha achanganye na viazi,alafu aanze mambo ya kupika tambi,sijui aweke mafuta,ziive,achemshe uji....kwani amemualika makamu wa rais Samia getto??
Mkuu byeyombo wewe nunua mihogo chemsha kisha kata kachumbali yako saaaafi jipigie mautamu ya futari,mie ndio naishi hivyo mkuu..yani futari inanoooooga mpaka basi...ratiba ya kuosha vyombo inakua poa kabisa mkuu!View attachment 521781 View attachment 521782
Mkuu si kuzidisha Kula...ndio maana nikasema simple..Ila shukran Kwa ushauriYaani nyie kipindi cha mfungo ndio kipindi cha kula vizuri! Pia inashangaza sana kipindi cha kufunga budget ya chakula inakuwa kubwa kuliko miezi mingine.
Nadhani ingekuwa vizuri mkazidisha muda wa ibada na sio kiwango cha kula.
Hahahaa me vya nazi hua sipendi at least vya kuroast na kitunguu na nyanya au nichemshe nitakulaShukran sana dada yangu.....viazi vitamu napikaga kama mchuzi changanya na maharage....we acha Tu!
Ndio uviandae sasa ufturuMie kwa mwezi huu napenda vitu vya mchuzi mchuzi
Aaamyn inshallah atubariki wote piaHaya dadaangu..... nashukuru Sana mungu akubariki...hizo tambi lakini naziogopa, nikiziunguza Tu imekula kwangu!
pika supu ya pweza na miguu ya bataSalaam jamani,
Kina dada na kina mama mnisaidie jamani simple futari ya makorombwezo nataka wikiendi hii niitumie vizuri.tunapata tabu sie mabachela, tunafuturu Kwa ugali .
Thanks
Bora wewe umeelewa. Waambie na wengine kuwa kufunga ni ibada na sio kuutii mwili.Mkuu si kuzidisha Kula...ndio maana nikasema simple..Ila shukran Kwa ushauri