Msaada Simu inakunywa MB

Am For Real

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
323
Reaction score
770
Wataalam naombeni mnisaidie hii simu nimejaribu kuweka Data saver na hata kuinstall zile apps za kudetect dat zinapoenda lakini Bado inakunywa MB.

TikTok lite MB 100 zinaisha kama upepo wakati zamani nilikuwa na UWEZO wa kuzitumia dakika 40 au lisaa zikatosha sasahivi zinaisha ndani ya dakika kumi.
 
Yaani una tiktok halafu unalalamika data? Tiktok, instagram na youtube ni majini yanafyonza data kuliko kawaida
Sawa mnakubali lakini kitendo Cha kuangalia video sekundi 10 MB 3 zimekata TIKTOK Lite.
 
Jaribu kuto tumia YouTube, mfano eti unafungua YouTube inayosomeka tofauti na unacho kijua
 
Vile vifurushi vya halotel bado vipo pataGB2=3000, GB3=4000, GB5= 5,000, Gb10 =10,000 mwezi mzima, ukituma hera usikae kimya niambie ili nikuunge kifurushi chako mapema, nikichelewa kukujibu hapa online nipigie simu au tuma sms kweny ..0618370992.
 
badilisha network weka 2g ila itakuwa slow sana mimi yangu hata nisipoenda huko tiktok mb zinaisha nadhani mitandao ya simu wamejua kutupiga!
 
Angalia ni app gani inakula Sana data,
Youtube mnaionea tu Mana inakwambia kila MB unazotumia kwenye video ukiangalia before huja play

Kwahiyo Youtube kula MB zako unakuwa umejitakia kwann uplay video ya MB 15 wakat una MB 50

Kwa TikTok me nakushangaa kwann una app kama hiyo kwenye simu yako.
 
Mimi GB 2.5 huwa namaliza kwa siku 2. ila kuna siku nimemwashia hotsport mtu zimeisha kwa muda wa kama lisaa hv.
 
TikTok Ina ladha yake sema linakunywa data BIla Mipaka hata ukiweka Data saver.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…