MSAADA : SIMU YANGU AINA YA SONY SO 41B HAIPANDISHI MTANDO WA INTERNET.

MSAADA : SIMU YANGU AINA YA SONY SO 41B HAIPANDISHI MTANDO WA INTERNET.

Barantogwa

Member
Joined
May 3, 2014
Posts
77
Reaction score
64
Wakuu nahitaji msaada, nina simu yangu Aina ya Sony so41b imekuwa haipandi mtandao wa intranet toka juzi,
Chanzo cha tatizo kuna dogo nilipa alikuwa nataka kufanya mawasiliano na mtu, kumbe aliichezea mfumo wa setting hadi akawa ame backup hivyo kupelekea kila kitu kufutika. Nimejalibu kufanya setting vitu vingine vyote vina kubali, lakini upande wa internet hipandishi kabisa mtandao.

Nahitaji msaada wenu Wana jukwaa wa Technology, najua humu kuna wataramu wasio na mipaka.
Natanguliza shukrani.
 
Ngoja wataalamu waje wakuelekeze jinsi ya kuset access point names. Au search humu JF kuna nyuzi zimeelekeza vizuri
 
Nimejalibu lakini bado inanigomea
Iweke kwenye freezer muda km wa saa 1 na Nusu kisha itoe iweke kwenye Oven pandisha moto mpaka juu subiri sekunde 60, andaa ndoo ya lita 20 ijaze maji kisha iweke humu kwa muda wa dakika 10, ukimaliza itoe jaribu kucheck mtandao utakua unasoma
 
Back
Top Bottom