Msaada;Sioni ute ute unaotoka kabla ya Ovulation

khalta

Member
Joined
Oct 21, 2017
Posts
66
Reaction score
123
Habar zenu
Naomba msaada
Sioni ule ute ambao unatoka siku ya hatar hvy nashindwa kujua ni siku gani ambayo ni sawa kwangu kwa ajili ya kutafuta mtoto

Na ni vyakula vipi naweza kutumia ili kusaidia kutengeneza huo ute kutoka


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ooh shukran sana mpendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…