Habar zenu
Naomba msaada
Sioni ule ute ambao unatoka siku ya hatar hvy nashindwa kujua ni siku gani ambayo ni sawa kwangu kwa ajili ya kutafuta mtoto
Na ni vyakula vipi naweza kutumia ili kusaidia kutengeneza huo ute kutoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie si mtaalam ila jaribu asali uchanganye na unga wa mdaladini halafu paka kwenye ufizi vema ukifanya hv muda wa kulala
Nb upate ile asali yenyewe na mdalasini wenyewe au unaweza kumtembelea Dada mmoja hivi ana acc yake insta naona amewasaidia wanawake wengi anaitwa hosymichael
Sent using Jamii Forums mobile app