Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavosema,
Hapa nyumbani Kuna utitiri wa sisimizi ndani haukatiki, ukiweka samaki tu hata kabatini unawakuta sisimizi wamevamia hatari, sisimizi wanazagaa hadi kwenye unga imefika hatua hadi chumbani wapo tu; kinacho niudhi zaidi jana sijalala kwani hawa utitili wa sisimizi walikuwa wamezagaa kitandani hadi kwenye mashuka kiufupi sijalala, wanasumbua hatari aisee, wamezagaa ndani kila corner mpaka naanza kuhisi mambo ya kishirikina huenda kuna uchawi nachezewa.
Hivi dawa ya hawa sisimizi ni ipi.
Hawa n sisimizi jamani, utitiri sio siafu
Kama kichwa cha habari kinavosema,
Hapa nyumbani Kuna utitiri wa sisimizi ndani haukatiki, ukiweka samaki tu hata kabatini unawakuta sisimizi wamevamia hatari, sisimizi wanazagaa hadi kwenye unga imefika hatua hadi chumbani wapo tu; kinacho niudhi zaidi jana sijalala kwani hawa utitili wa sisimizi walikuwa wamezagaa kitandani hadi kwenye mashuka kiufupi sijalala, wanasumbua hatari aisee, wamezagaa ndani kila corner mpaka naanza kuhisi mambo ya kishirikina huenda kuna uchawi nachezewa.
Hivi dawa ya hawa sisimizi ni ipi.
Hawa n sisimizi jamani, utitiri sio siafu