Nenda posta kaulizie shida inakuaga posta zenu ni wazembe mno ku update informations!mje plzzz
mpaka leo hujapata?Kuna makosa ya mizigo mingine wauzaji wanasahau kuweka no za simu hii ishawah nitokea uzur pale posta wananifahamu jina walipoona jina Langu Ila Hauna no wakanitunzia
Kingine posta wanakawaid kuchanganya unakuta parcel wanaweka Kwenye box la mteja km mteja sio muaminifu Ndio Kwaheriiii akiwa muaminifu anairudisha kwa wahusika.
Niliagiza mzigo wa handbags 5 kila moja inathamani ya dollar 30 mzigo mpk Leo tangu January mwaka Huu tangu hapo Bidhaa siagizi ikazidi dollar 10 kwakweli.
Sijapatampaka leo hujapata?
Sijapata
nimeshaupata mkuuKuna makosa ya mizigo mingine wauzaji wanasahau kuweka no za simu hii ishawah nitokea uzur pale posta wananifahamu jina walipoona jina Langu Ila Hauna no wakanitunzia
Kingine posta wanakawaid kuchanganya unakuta parcel wanaweka Kwenye box la mteja km mteja sio muaminifu Ndio Kwaheriiii akiwa muaminifu anairudisha kwa wahusika.
Niliagiza mzigo wa handbags 5 kila moja inathamani ya dollar 30 mzigo mpk Leo tangu January mwaka Huu tangu hapo Bidhaa siagizi ikazidi dollar 10 kwakweli.
Kweli Mkuu itasaidia sn na wengine wapate uzoefuToa maelezo ulinunua mtandao gani, ulilipia kwa njia gani, shipping imechukua siku ngapi, vp hujakutana na changamoto za TRA na pia mzigo umeuchukulia wapi.
Nadhani itasaidia zaidi
nimeshaupata mkuu
aliexpress nduguToa maelezo ulinunua mtandao gani, ulilipia kwa njia gani, shipping imechukua siku ngapi, vp hujakutana na changamoto za TRA na pia mzigo umeuchukulia wapi.
Nadhani itasaidia zaidi