Mbabani JF-Expert Member Joined Jun 20, 2022 Posts 1,676 Reaction score 4,693 Oct 10, 2024 #1 Habari wakuu. Napata shida kutumia simu aina ya Sony xz1. Kila nikitaka kununua kifurushi inatakiwa niwashe data. Hata kama nabonyeza menu ya M PESA (*150*00#) JE NIFANYEJE?
Habari wakuu. Napata shida kutumia simu aina ya Sony xz1. Kila nikitaka kununua kifurushi inatakiwa niwashe data. Hata kama nabonyeza menu ya M PESA (*150*00#) JE NIFANYEJE?
Cassnzoba JF-Expert Member Joined Feb 26, 2022 Posts 3,661 Reaction score 6,913 Oct 10, 2024 #2 Ngoja waje kukupa ushauri
zerominus10 JF-Expert Member Joined Aug 25, 2022 Posts 8,142 Reaction score 13,721 Oct 10, 2024 #3 Mbabani said: JE NIFANYEJE? Click to expand... Washa tena data kisha zima halafu washa tena jiunge kifurushi cha Mwezi
Mbabani said: JE NIFANYEJE? Click to expand... Washa tena data kisha zima halafu washa tena jiunge kifurushi cha Mwezi