Msaada Sony xz1

Msaada Sony xz1

Mbabani

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
1,676
Reaction score
4,693
Habari wakuu.

Napata shida kutumia simu aina ya Sony xz1. Kila nikitaka kununua kifurushi inatakiwa niwashe data. Hata kama nabonyeza menu ya M PESA (*150*00#)

JE NIFANYEJE?
 
Back
Top Bottom