Nguvuyabwana
Senior Member
- Jun 6, 2019
- 195
- 483
Wakuu kwema!?. Msaada tutani, nina gari aina ya Toyota Alteza ina engine ya 3s Yamaha imeua throttle(inajires na kuwasha chek engine muda wote). Wapi naweza pata spea!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda gerezani huko zimejaa tele. Nahisi haiwezi hata kufika 80000Wakuu kwema!?. Msaada tutani, nina gari aina ya Toyota Alteza ina engine ya 3s Yamaha imeua throttle(inajires na kuwasha chek engine muda wote). Wapi naweza pata spea!
Shukrani mkuu!. Japo ningepata msaada wa mtu aliye nayo ingekua poa zaidi. Nipo DomNenda gerezani huko zimejaa tele. Nahisi haiwezi hata kufika 80000
Mkuu dom umekosa kweli? Altezza spare zake kama zote... Hebu wapigie hawa watu wawili 0766999775 au 0657898592.Shukrani mkuu!. Japo ningepata msaada wa mtu aliye nayo ingekua poa zaidi. Nipo Dom
Mtume mtu gerezani, temeke au tandale hizo korokoro zipo kibaoShukrani mkuu!. Japo ningepata msaada wa mtu aliye nayo ingekua poa zaidi. Nipo Dom
Wakuu kwema!?. Msaada tutani, nina gari aina ya Toyota Alteza ina engine ya 3s Yamaha imeua throttle(inajires na kuwasha chek engine muda wote). Wapi naweza pata spea!
Shukrani kaka!. Ngoja niwachekiMkuu dom umekosa kweli? Altezza spare zake kama zote... Hebu wapigie hawa watu wawili 0766999775 au 0657898592.
Angalizo wakisema wanayo msije tumiana pesa ukidhani nafahamiana nao personally ila nachojua wanauza spare nishanunua spare kwao kwa kwenda physically tu.
Sawa sawa kiongozi, shukraniMtume mtu gerezani, temeke au tandale hizo korokoro zipo kibao
Uliisafisha nini mkuu? Nimeharibu mbili kwa kusisafisha kwa ile spray japo si altezza za nissanShukrani kaka!. Ngoja niwacheki
Amna kaka, niliichukua kwa mtu ikiwa hivyoUliisafisha nini mkuu? Nimeharibu mbili kwa kusisafisha kwa ile spray japo si altezza za nissan
Wacheki itakuwa cheap tu maana kama ya nissan nilinunua 90k toyota inaweza kuwa hata nusu yake.Amna kaka, niliichukua kwa mtu ikiwa hivyo
Kuna wadau baadhi niliwacheki wakanitumia kama mara mbili zote bado zinachangamoto. Kuhusu bei waliniambia 350k mkuu 😀Wacheki itakuwa cheap tu maana kama ya nissan nilinunua 90k toyota inaweza kuwa hata nusu yake.
Mh labda. Si unasema throttle body? Mimi nimenunua za dualis mara 2 kila moja kwa 90kKuna wadau baadhi niliwacheki wakanitumia kama mara mbili zote bado zinachangamoto. Kuhusu bei waliniambia 350k mkuu 😀
Ila inawezekana mkuu ya altezza ikawa bei ghali nimecheka hapa internet used kenya ni 10,000kes ambazo roughly ni kama 240000 za tz. Na engine 3s na inaingiliana na rav4, caldima, celica, vista, camry, avensis, coronaKuna wadau baadhi niliwacheki wakanitumia kama mara mbili zote bado zinachangamoto. Kuhusu bei waliniambia 350k mkuu 😀
Ndio hivyo KakaIla inawezekana mkuu ya altezza ikawa bei ghali nimecheka hapa internet used kenya ni 10,000kes ambazo roughly ni kama 240000 za tz. Na engine 3s na inaingiliana na rav4, caldima, celica, vista, camry, avensis, corona
Nicheki WhatsApp 0712 148001Wakuu kwema!?. Msaada tutani, nina gari aina ya Toyota Alteza ina engine ya 3s Yamaha imeua throttle(inajires na kuwasha chek engine muda wote). Wapi naweza pata spea!
Una maanisha hauna?Gari za vijana hizi😊