msaada st john university

Yuzzle Jr

New Member
Joined
Sep 16, 2013
Posts
2
Reaction score
0
Wadau anaejua kuhusu mazingira ya st john tawi la st mark hapa dar re salaam. Vipi ina hostel kwa watu wote? Au kama haina vipi kuna maeneo jirani na pale chuon wanatoa huduma za hostel? Msaada tafadhali
 
chuo hakna hostel bt znapatkana maeneo jiran ikiwa n pamoja na nyumba za kupanga
 
wahi chuo ukatafute sehemu za jirani kupanga kwani unavyochelewa wenzako wanajaza nafasi hivyo kukulazimu ukapange mbali pa hata gari moja ndipo ufike chuo. Changamka maeneo ya karbu upate room ila ukikosa kapange hata kigogo, kwajuni au kinondoni upande gari 1 la buguruni kwa miez6 ukitafuta ustarabu wa karibu au ilala bungoni. Cha muhimu wahi kutafuta chumba upange na wenzako karibu.

Usipende kufahamu chuo kwa kushinda kwenye keyboard tu chukua hatua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…