Msaada: Suzuki Grand Vitara (spea, mafuta?)

Msaada: Suzuki Grand Vitara (spea, mafuta?)

Mie ninayo ya 2.4cc Mannual 5 Gears, tangu 2020 sijaona tatizo ambalo ni sugu tofauti na thermostat tu. Iliyokuepo olikufa Kila niliweka mpya inapandisha temperature, nikaamua kuitupilia mbali Kwa sasa naitumia bila thermo.
Wakati Ina thermo fuel consumption ilikuwa inanipa 12-13 km/L town trip, sasa hivi inanipa 10-12Km/L Naishi nayo hivyo hivyo.
Shukrani mkuu. Vipi kuhusu long trip. Gari inatembea vizuri na stability ya kutosha? Iko comfortable ?
 
Shukrani mkuu. Vipi kuhusu long trip. Gari inatembea vizuri na stability ya kutosha? Iko comfortable ?
Zaidi 140km/hr inapoteza stability. Labda kama una mzigo au mpo full 5 occupants. Mara nyingi nasafiri tukiwa watu 2 so Huwa sizidishi 120 km/hr....naenda zaidi kama naovertake tu baada ya hapo narudi zangu 120. Dash inasoma 220km/hr.

NB: Umri nao unachangia kuogopa speed
 
Shukrani mkuu. Vipi kuhusu long trip. Gari inatembea vizuri na stability ya kutosha? Iko comfortable ?
Mi yangu nilisafiri nayo sana, ilikuwa inatulia barabarani ila kwa kuwa ni J20 ilikuwa haina mwendo
 
Zaidi 140km/hr inapoteza stability. Labda kama una mzigo au mpo full 5 occupants. Mara nyingi nasafiri tukiwa watu 2 so Huwa sizidishi 120 km/hr....naenda zaidi kama naovertake tu baada ya hapo narudi zangu 120. Dash inasoma 220km/hr.

NB: Umri nao unachangia kuogopa speed
120kph kwa barabara ipi Tanganyika?
 
120kph kwa barabara ipi Tanganyika?
Mi sipendi speed ila wewe utakuwa umenizidi kama hujawahi kuendesha au kuendeshwa kwa speed ya 120kph. Barabara za mikoani karibu zote unaweza kutembea na hii speed kwa vipande virefu tu. Na siwezi kuiita ni speed ya hatari sana hasa sehemu amabazo hakuna watu.
 
Back
Top Bottom