Uzi uishie hapa maana umemaliza Kila kitu na Mimi nimeongeza kitu.Malaika wakuu ni
Mikaeli
Rafael
Gabriel
Na shetan anaetwa
Lusifael . Aliyeasi ni Lusifael sio Gabriel so Lusifael na wafuasi wake au malaika zake ndio walioasi. Na Lusifael alikuwa anaongoza kitengo cha sifa ya music nk. Na kama na wewe ni Sehem ya wanaoasi maagizo ya Mungu basi na wewe ni Sehem ya wafuasi wa Lusifael.
Hizo ni hadithi za kutunga tu ndugu, wala zisikuumize kichwa.Katika imani ya kikristo tunaambiwa Malaika Mkuu aliitwa Gabriel, baadaye malaika huyo aliasi nakugeuka kuwa shetani na Mungu alimfukuza katika kundi la malaika wake.
Je kama ni sahihi watu kupewa jina la Gabriel ambaye ni shetani?
Je kuna logic gani makanisa kupewa majina kama hayo? Nimepita sehemu nimeona kanisa limeandikwa Kanisa ... la Malaika mkuu Gabriel
View attachment 2950439
Katika imani ya kikristo tunaambiwa Malaika Mkuu aliitwa Gabriel, baadaye malaika huyo aliasi nakugeuka kuwa shetani na Mungu alimfukuza katika kundi la malaika wake.
Je kama ni sahihi watu kupewa jina la Gabriel ambaye ni shetani?
Je kuna logic gani makanisa kupewa majina kama hayo? Nimepita sehemu nimeona kanisa limeandikwa Kanisa ... la Malaika mkuu Gabriel
View attachment 2950439
Yeah. Ni Imani tu
Tunga na wewe na watu wengi waiamini.Hizo ni hadithi za kutunga tu ndugu, wala zisikuumize kichwa.
Hiyo imani ya Kikristu inayo itikadi haya uliyoandika itakuwa imeanzishwa na FaanaKatika imani ya kikristo tunaambiwa Malaika Mkuu aliitwa Gabriel, baadaye malaika huyo aliasi nakugeuka kuwa shetani na Mungu alimfukuza katika kundi la malaika wake.
Je kama ni sahihi watu kupewa jina la Gabriel ambaye ni shetani?
Je kuna logic gani makanisa kupewa majina kama hayo? Nimepita sehemu nimeona kanisa limeandikwa Kanisa ... la Malaika mkuu Gabriel
View attachment 2950439
Walishatunga akina Isaya huko na akina Muhamed, sio lazima kila mtu atunge.Tunga na wewe na watu wengi waiamini.