Paul Mchumi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,039
- 1,256
Habari ya mida hii wana Jf
Nina gari yangu Passo,jana baada ya mvua mvua hizi zinazonyesha hapa mjini Dar,mara taa ya check engine imeanza kuwaka,sielewi tatizo ni nini,nikajua labda nikiizima then nikiwasha au ikikaa mpaka asubuhi ya leo taa itazima lakini wapi bado inaendelea kuwaka,lakini gari inatembea kama kawaida na hakuna utofauti wowote nilioubaini toka taa hiyo imeanza kuwaka,naombeni msaada wenu kama kuna mtu imeshawahi kumtokea hali kama hii au anajua chakufanya.
Natanguliza shukrani zangu!
Nina gari yangu Passo,jana baada ya mvua mvua hizi zinazonyesha hapa mjini Dar,mara taa ya check engine imeanza kuwaka,sielewi tatizo ni nini,nikajua labda nikiizima then nikiwasha au ikikaa mpaka asubuhi ya leo taa itazima lakini wapi bado inaendelea kuwaka,lakini gari inatembea kama kawaida na hakuna utofauti wowote nilioubaini toka taa hiyo imeanza kuwaka,naombeni msaada wenu kama kuna mtu imeshawahi kumtokea hali kama hii au anajua chakufanya.
Natanguliza shukrani zangu!