Paul Mchumi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,039
- 1,256
- Thread starter
-
- #21
Unataka nifanye biashara ya tax na Harrier ndugu yangu,mi hii ni gari ya biashara kwa ajiri ya consumption ya mafuta,tusikariri jamani,kwamba hili la kike au hili la kiume,....kuna sifa za kijinga unaendesha gari ya gharama lakini kulihudumia huwezi,ukipata safari ya Dar to Moro tu hapo unajifikiria,nina rafiki yangu ameninua Harrier lakini limekua kama pambo anaishia kupiga nalo picha,kulihudumia hawezi kila siku analia lia njaa!nenda kwa fundi! ila jua kuwa hakunaga passo nzima duniani, zote ni majanga! mwisho kabisa, we dume zima unaendeshaje ka passo?
Mkuu ujuaje kama ni dume ! sijaona alikotaja jinsia yakenenda kwa fundi! ila jua kuwa hakunaga passo nzima duniani, zote ni majanga! mwisho kabisa, we dume zima unaendeshaje ka passo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi Nina Rav4 Mayai inawaka hiyo taa mwaka wa 4 sasa lakini hakuna tatizo lolote
Dah mkuu, kama unaipenda hiyo gari ipeleke kwenye garage zenye mafundi wazuri. Isije ikakuharibia kitu kikubwa!Mimi Nina Rav4 Mayai inawaka hiyo taa mwaka wa 4 sasa lakini hakuna tatizo lolote
Kwanza kabisa kama taa unayomaanisha ni hiyo ya njano that's not check engine indicator, check engine ni red na iko kama birikaHabari ya mida hii wana Jf
Nina gari yangu Passo,jana baada ya mvua mvua hizi zinazonyesha hapa mjini Dar,mara taa ya check engine imeanza kuwaka,sielewi tatizo ni nini,nikajua labda nikiizima then nikiwasha au ikikaa mpaka asubuhi ya leo taa itazima lakini wapi bado inaendelea kuwaka,lakini gari inatembea kama kawaida na hakuna utofauti wowote nilioubaini toka taa hiyo imeanza kuwaka,naombeni msaada wenu kama kuna mtu imeshawahi kumtokea hali kama hii au anajua chakufanya.
Natanguliza shukrani zangu!View attachment 738685
point of correction..Kwanza kabisa kama taa unayomaanisha ni hiyo ya njano that's not check engine indicator, check engine ni red na iko kama birika
Pili kama check engine (kwa maana ya hiyo niliyotaja juu) ndio inayowaka, kitu cha kwanza angalia oil level, kama oil level iko low hiyo ndio sababu. Kinachofata ni kujua kwa nini oil imepungua, hapo unaweza kuhitaji fundi lakini possible reasons ni leakages (external or internal)
All the best
Point of correction! Uko sahihi, ukiona gari inawaka taa ya check engine tambua kuanzia hapo vitu vitatu vinatokea.point of correction..
Hiyo taa unayosema ipo kama birika na inawaka nyekundu si check engine...hiyo ni taa ya oil pressure na haiwaki kwa sababu oil imezidi au imepungua..
yaa hiyo ya oil presure inawaka endapo pump ya oil haiwezi kusukuma oil ipande juu kwenye sehemu za engine....na taa hii ya oil ikiwaka ni hatari sana zima gari na ulivute mpaka garage.
Hiyo taa ya orange inayoonekana kwenye picha ndiyo chek engine ikiashiria kuna kitu kwenye engine kina hitilafu....hivyo kwa ushauri mwenue gari akafanye diagnosis ili kubaini tatizo.
Mkuu,taa ya check engine haiko hivyo. Huwa ni nyekundu,na ikiwaka huna ujanja. Zima gari tu livutewe. Vinginevyo engine inakufa instantly. Hiyo hapo mara nyingi ni taa ya sensor za umeme kama zina hitilafu. Mara nyingi hizo zinaweza kukupa muda mrefu kutumia bila ya wewe kuona chochote kilichobadilika ingawa gari inaweza kula mafuta,kukosa nguvu/pulling nk. Lakini ingekua ni TAA YA CHECK ENGINE,muda huu tungekua tunazungumzia Engine yako kunock!Habari ya mida hii wana Jf
Nina gari yangu Passo,jana baada ya mvua mvua hizi zinazonyesha hapa mjini Dar,mara taa ya check engine imeanza kuwaka,sielewi tatizo ni nini,nikajua labda nikiizima then nikiwasha au ikikaa mpaka asubuhi ya leo taa itazima lakini wapi bado inaendelea kuwaka,lakini gari inatembea kama kawaida na hakuna utofauti wowote nilioubaini toka taa hiyo imeanza kuwaka,naombeni msaada wenu kama kuna mtu imeshawahi kumtokea hali kama hii au anajua chakufanya.
Natanguliza shukrani zangu!View attachment 738685
Duh!,mi nilikua nadhani eti hii taa ndio ya Check engine...Mkuu,taa ya check engine haiko hivyo. Huwa ni nyekundu,na ikiwaka huna ujanja. Zima gari tu livutewe. Vinginevyo engine inakufa instantly. Hiyo hapo mara nyingi ni taa ya sensor za umeme kama zina hitilafu. Mara nyingi hizo zinaweza kukupa muda mrefu kutumia bila ya wewe kuona chochote kilichobadilika ingawa gari inaweza kula mafuta,kukosa nguvu/pulling nk. Lakini ingekua ni TAA YA CHECK ENGINE,muda huu tungekua tunazungumzia Engine yako kunock!
Nafanya Diagnosis nichekiDuh!,mi nilikua nadhani eti hii taa ndio ya Check engine...
Kumbe hii sio Taa ya Check Engine?Mkuu,taa ya check engine haiko hivyo. Huwa ni nyekundu,na ikiwaka huna ujanja. Zima gari tu livutewe. Vinginevyo engine inakufa instantly. Hiyo hapo mara nyingi ni taa ya sensor za umeme kama zina hitilafu. Mara nyingi hizo zinaweza kukupa muda mrefu kutumia bila ya wewe kuona chochote kilichobadilika ingawa gari inaweza kula mafuta,kukosa nguvu/pulling nk. Lakini ingekua ni TAA YA CHECK ENGINE,muda huu tungekua tunazungumzia Engine yako kunock!