poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 453
- 175
nimeweka mafuta ya 15,000/ na gari jana nilizima na leo asubuhi nimeiwasha naona bado inawaka.
umeweka mafuta kiasi gani...? coz kama yalikuwa yameisha kabisa inawezekana hayo uliyoweka ni kidogo so bado inakualert uongeze zaidi....
nimeweka mafuta ya 15,000/ na gari jana nilizima na leo asubuhi nimeiwasha naona bado inawaka.
sawa mkuu lakini geji inasoma vizuri na mshale umepanda sehemu ambayo huwa haiwaki hiyo taa ya tankAAAh mkuuu ongezea mafuta 15000/= ni kama lita nane hivi, nadhani bado ina kiu iongezee tena mengine
nimeweka mafuta ya 15,000/ na gari jana nilizima na leo asubuhi nimeiwasha naona bado inawaka.
Sasa wewe umeweka mafuta lita 7 halafu kule juu umendika umejaza! unaleta utani? halafu unataka taa ya reserve izimike? tuondolee upuuzi hapa. Aliyekufundisha gari hakukufundisha vizuri!
Ongeza mafuta ya kutosha acha ubahiri. Ukiruhusu hadi taa kuwaka kila wakati unaua pump.
asante ntazingatia ushauri wakoMimi nakushauri, jaza tank halafu uwe unaongeza kwa bajeti yako kila yanapofika robo tatu ya tank.
ndugu yangu Ribosome yamekuwa hayo,mbona waniambia maneno makali kiasi hiko.Samahani sana kwa kukosea nia yangu ilikuwa kutaka kufahamishwa.Samahani sana kaka mungu atatulipa kwa sote
nashukuru kwa ushauri wako mzuri ntajitahidi kujieleza vizuri siku nyingine kaka.Zingatia kutokutumia hayo maneno yenye red yanachafua uzuri wa ulichoshauri.Natanguliza samahani kama na hapa nimekosea kujielezaPole kama nimekukwaza, siku nyingine utajuwa kujielezea. ulisema umejaza, halafu baadae unasema nimeweka 15,000/=. Yote hiyo ni kutokupata mafunzo ya kutosha kuhusu uendeshaji wa gari, Watu kama wewe ndio huwa mnasabisha ajali za kijinga. Sasa gari ikikuzimikia sehemu ambayo ni hatari kuku overtake na magari yanabidi ya ku overtake, si inakuwa umewatakia watu ajali ya kipuuzi.