poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 453
- 175
Habari wanajamvi,
Jana nilikuwa naendesha gari, bahati mbaya kulikuwa na foleni sana taa ya tank la mafuta ikaanza kuwaka,mafuta yalikuwa yameisha sana. Nilipofika kituo cha mafuta mafuta yalikuwa yameisha kabisa.
Nikajaza lakini taa ya kuashiria mafuta yanaisha bado inawaka bila kuzima. Je, hili ni tatizo na kama ni tatizo nini madhara yake?
Naomba msaada wenu wataalamu
Jana nilikuwa naendesha gari, bahati mbaya kulikuwa na foleni sana taa ya tank la mafuta ikaanza kuwaka,mafuta yalikuwa yameisha sana. Nilipofika kituo cha mafuta mafuta yalikuwa yameisha kabisa.
Nikajaza lakini taa ya kuashiria mafuta yanaisha bado inawaka bila kuzima. Je, hili ni tatizo na kama ni tatizo nini madhara yake?
Naomba msaada wenu wataalamu