Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,262
- 1,956
Nauli ya basi Makambako mpaka Songea ni elf 20 (5hrs) songea to Tunduru hakuna basi kubwa bali kuna landrovers nauli elfu 22(rough road).
Mwisho kwa tahadhari zaidi zingatia ulinzi na umakini mara uwapo songea, ukiwa bar, hotel, njiani acha kujionyesha kama ni mgeni sana au una pesa nying kwani huu mji kwa mauaji ndo usiseme.
Umeona yanayojiri leo.
Mwisho kwa tahadhari zaidi zingatia ulinzi na umakini mara uwapo songea, ukiwa bar, hotel, njiani acha kujionyesha kama ni mgeni sana au una pesa nying kwani huu mji kwa mauaji ndo usiseme.
Umeona yanayojiri leo.