jeni alichofanya kilikuwa ni sahihi lakini inaonekana alikuwa emotional sana na kwa mtu ambaye anajua anachokifanya lazima atashtuka , yeye angejaribu kutafuta njia ya kuonana naye lakini akiwa ameongozana na watu , lakini la msingi kabisa ambalo anatakiwa kulifanya ni kumuomba aahirishe shughuli hadi mwezi ujao kwa hoja ambayo ionyeshe kuna mtu ambaye anatakiw akuhudhuria , lakini pia jeni hakutakiwa kumwambia jamaa kwa vile hatua iliyofikia , ..
ilitakiwa familia imweleze jamaa kwamba wangependa wasogeze mbele ili kukamilisha masuala yao kwanza , lakini kimtazamo kwa vile jamaa anajijua kwamba ni mkosaji basi lazima ataelewa jeni kashtuka kwa hiyo sijajua hiyo speeed ya jamaa atakayokuja mayo