EWGM's
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 1,521
- 2,112
Waungwana kwa wale wenye uzoefu naomba muongozo tafadhali. Nataka kujenga banda kama hilo hapo chini lenye ukubwa wa (5X20). Nina kashamba kangu kapo Msata njia ya Bagamoyo nilitaka nimwekee mama yangu mradi aanze ufugaji wa bata mzinga. Hivyo nilitaka kujua makadirio ya gharama za ujenzi na vifaa zenye kukaribiana na uhalisia.Nataka nimjengee mapema iwezekavyo kuanzia sasa, tafadhali mchango wako wa mawazo unakaribishwa. Ahsanteni
N.B. Samahani kwa usumbufu wowote utakao tokea ahsanteni
N.B. Samahani kwa usumbufu wowote utakao tokea ahsanteni