Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu MAKADIRIO YA GHARAMA Nilizotumia Katika Ujenzi wangu (20 kwa 12) zilikuwa;
1;UPAUAJI:
Bati(100) @ 12,000
Mbao 2*2 (80) @ 3,500
Mbao 4*2 (45) @7000
Miti Kurunge 9 @ 6000
Miti Mirunda 50@ 3000
Kofia+Misumari=100,000
TOTAL==2,099,000
2:MSINGI NA KUPANDISHA;
Tofali 800 @ 1000
Mchanga roli 6@ 90,000
Kokoto roli 1@ 160,000
Cement 50@ 13,000
TOTAL==2,150,000
3:MENGINEYO
Floor mchanga roli 6
Milango 2 @150,000
Chicken wire bunda 3@55,000
Ufundi (700,000)
TOTAL== 1,705,000
4;GHARAMA ZILIZOJIFICHA
Maji+usafiri n.k== 500,00
NB; Bati nilitumia used za pale Tazara.Pia kwenye kupaua nilitumia miti ile mirefu na mbao (kama wanavyopaua kwenye hoteli za makuti)....
Pia gharama za materials zinaweza zikawa juu huko bagamoyo kulinganisha na Dar.....
Mkuu MAKADIRIO YA GHARAMA Nilizotumia Katika Ujenzi wangu (20 kwa 12) zilikuwa;
1;UPAUAJI:
Bati(100) @ 12,000
Mbao 2*2 (80) @ 3,500
Mbao 4*2 (45) @7000
Miti Kurunge 9 @ 6000
Miti Mirunda 50@ 3000
Kofia+Misumari=100,000
TOTAL==2,099,000
2:MSINGI NA KUPANDISHA;
Tofali 800 @ 1000
Mchanga roli 6@ 90,000
Kokoto roli 1@ 160,000
Cement 50@ 13,000
TOTAL==2,150,000
3:MENGINEYO
Floor mchanga roli 6
Milango 2 @150,000
Chicken wire bunda 3@55,000
Ufundi (700,000)
TOTAL== 1,705,000
4;GHARAMA ZILIZOJIFICHA
Maji+usafiri n.k== 500,00
NB; Bati nilitumia used za pale Tazara.Pia kwenye kupaua nilitumia miti ile mirefu na mbao (kama wanavyopaua kwenye hoteli za makuti)....
Pia gharama za materials zinaweza zikawa juu huko bagamoyo kulinganisha na Dar.....
Mungu akubariki sana kwa mchango wako huu, ngoja tujaribu nasisi.
Habari nzuri, bila samahani huu hapa https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/117756-kwa-wafugaji-wa-kuku-wa-kisasa-2.htmlHabari Mama Joe! samahani kwa ususmbufu kwenye hizi thread za ufugaji wa kuku kuna siku niliona mchango wako, umeshusha nondo za chanjo zinazohitajika kwa kuku. Kuna mstari ulisistizia kuhusu dawa za chanjo fulani ulisema wapewe kwa masaa mawili tu kisha maji yabadilishe baada ya hapo. Kama unakumbukumbu na huo uzi naomba unishushie link yake hapa tafadhali. Ahsante sana
Habari nzuri, bila samahani huu hapa https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/117756-kwa-wafugaji-wa-kuku-wa-kisasa-2.html