Msaada tafadhali: Gharama za ujenzi wa banda hili

Msaada tafadhali: Gharama za ujenzi wa banda hili

hilo ni bonge la banda. ila ukiachilia mbali gharama za banda nadhani ni vyema likawa ndani ya fency ya ukuta. kwa sababu za kiusalama, pia kuzuia upepo maana naona sehemu kubwa pembeni ni chickenwire tu.
 
Mkuu MAKADIRIO YA GHARAMA Nilizotumia Katika Ujenzi wangu (20 kwa 12) zilikuwa;
1;UPAUAJI:
Bati(100) @ 12,000
Mbao 2*2 (80) @ 3,500
Mbao 4*2 (45) @7000
Miti Kurunge 9 @ 6000
Miti Mirunda 50@ 3000
Kofia+Misumari=100,000
TOTAL==2,099,000

2:MSINGI NA KUPANDISHA;
Tofali 800 @ 1000
Mchanga roli 6@ 90,000
Kokoto roli 1@ 160,000
Cement 50@ 13,000
TOTAL==2,150,000

3:MENGINEYO
Floor mchanga roli 6
Milango 2 @150,000
Chicken wire bunda 3@55,000
Ufundi (700,000)
TOTAL== 1,705,000

4;GHARAMA ZILIZOJIFICHA
Maji+usafiri n.k== 500,00

NB; Bati nilitumia used za pale Tazara.Pia kwenye kupaua nilitumia miti ile mirefu na mbao (kama wanavyopaua kwenye hoteli za makuti)....
Pia gharama za materials zinaweza zikawa juu huko bagamoyo kulinganisha na Dar.....

Ahsante sana mkuu, Mungu akuzidishie maisha marefu ndugu yangu. Ushauri zaidi unaweza hitajika pindi project ya ujenzi itakapoanza
 
Mungu akubariki sana kwa mchango wako huu, ngoja tujaribu nasisi.
Mkuu MAKADIRIO YA GHARAMA Nilizotumia Katika Ujenzi wangu (20 kwa 12) zilikuwa;
1;UPAUAJI:
Bati(100) @ 12,000
Mbao 2*2 (80) @ 3,500
Mbao 4*2 (45) @7000
Miti Kurunge 9 @ 6000
Miti Mirunda 50@ 3000
Kofia+Misumari=100,000
TOTAL==2,099,000

2:MSINGI NA KUPANDISHA;
Tofali 800 @ 1000
Mchanga roli 6@ 90,000
Kokoto roli 1@ 160,000
Cement 50@ 13,000
TOTAL==2,150,000

3:MENGINEYO
Floor mchanga roli 6
Milango 2 @150,000
Chicken wire bunda 3@55,000
Ufundi (700,000)
TOTAL== 1,705,000

4;GHARAMA ZILIZOJIFICHA
Maji+usafiri n.k== 500,00

NB; Bati nilitumia used za pale Tazara.Pia kwenye kupaua nilitumia miti ile mirefu na mbao (kama wanavyopaua kwenye hoteli za makuti)....
Pia gharama za materials zinaweza zikawa juu huko bagamoyo kulinganisha na Dar.....
 
Mungu akubariki sana kwa mchango wako huu, ngoja tujaribu nasisi.

Habari Mama Joe! samahani kwa ususmbufu kwenye hizi thread za ufugaji wa kuku kuna siku niliona mchango wako, umeshusha nondo za chanjo zinazohitajika kwa kuku. Kuna mstari ulisistizia kuhusu dawa za chanjo fulani ulisema wapewe kwa masaa mawili tu kisha maji yabadilishe baada ya hapo. Kama unakumbukumbu na huo uzi naomba unishushie link yake hapa tafadhali. Ahsante sana
 
Habari Mama Joe! samahani kwa ususmbufu kwenye hizi thread za ufugaji wa kuku kuna siku niliona mchango wako, umeshusha nondo za chanjo zinazohitajika kwa kuku. Kuna mstari ulisistizia kuhusu dawa za chanjo fulani ulisema wapewe kwa masaa mawili tu kisha maji yabadilishe baada ya hapo. Kama unakumbukumbu na huo uzi naomba unishushie link yake hapa tafadhali. Ahsante sana
Habari nzuri, bila samahani huu hapa https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/117756-kwa-wafugaji-wa-kuku-wa-kisasa-2.html
 
Back
Top Bottom