Check presure na sukari kwanza halafu uje hapa tenaKuamka umechoka sana, mapigo ya moyo kwenda kasi tofauti na kawaida yani siku nzima baada ya kufanya mapenzi usiku
Na hiyo hali huendelea siku moja hadi mbili mbele ....
Naombeni msaada hapo ... Je hii hali ni kawaida au?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pressure nmecheki mwanzoni mwa wiki hii ilikuwa 120/60...???!Check presure na sukari kwanza halafu uje hapa tena