BABU KIDUDE
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,587
- 916
Jamaa mimi sijakubeza bana si unajua ehhh ehhh achana nao hao .....Ila watu wa humu jf wananiachaga hoi sana. Anyway siku si nyingi ntawapa mrejesho ili iwe fundisho kwa wote mnaobeza watu wanapoomba ushauri na msaada wa jambo flani.