Msaada tafadhali,Kipato cha binti cha mtoa nduki jamaa..!

msimseme sana jamani........................mwenzenu kakimbiza ubavu wake bana .............kaona isiwe taabu!
 
Huyu dada alishindwa tu kumsoma jamaa. Jamaa alikuwa na shida ya kunywa maziwa na siyo kufuga ng'ombe. Kosa alilofanya huyo dada ni kugawa maziwa kwa jamaa akitegemea kuwa kwa kufanya hivyo atamshawishi jamaa afuge ng'ombe.

Unataka kutuambia hujawahi kupenda mtu na hukufanikiwa kumuoa?kwan kila anayekuwa mapenzin lengo ni kuoana?watu wanapenda mpaka hata kulana wakinogewa na kuendana ndio mambo ya kuoana yanafuata!kwa hiyo hata hawa mapnz yao ndio kwanza yana miez 4.
 
hata hivyo,mwanamke akikuzidi kipato, anakuwa na wivu zaidi. Tatizo dogo utaambiwa TOKAA KAMA ULIVYOKUJAA!

Kwa hiyo mwanamke ndo anafaa kutimuliwa sio?? Napata picha matendo myatendayo in most cases sio mazuri ndo maana mnatafuta power na kutawala ili muyafiche!! Kwa nini uwazie kufukuzwa na usiwazie kuongeza maujanja na efforts zaidi ili mporomoshe mjengo like wa NSSF kama alivyosema Eiyer?? Mwagwaya challenges nyie......
 
Huyu dada alishindwa tu kumsoma jamaa. Jamaa alikuwa na shida ya kunywa maziwa na siyo kufuga ng'ombe. Kosa alilofanya huyo dada ni kugawa maziwa kwa jamaa akitegemea kuwa kwa kufanya hivyo atamshawishi jamaa afuge ng'ombe.

Unataka kutuambia hujawahi kupenda mtu na hukufanikiwa kumuoa?kwan kila anayekuwa mapenzin lengo ni kuoana?watu wanapenda mpaka hata kulana wakinogewa na kuendana ndio mambo ya kuoana yanafuata!kwa hiyo hata hawa mapnz yao ndio kwanza yana miez 4 na kabla
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/195864-msaada-tafadhali-kipato-cha-binti-cha-mtoa-nduki-jamaa-15.html
 
Kwa nn unazunguka hivyo....? sema tu kama hii scenario ni ya kwako, kwa nn umsingizie mtu...?......Teh teh ...

 
Mapenzi hayaangalii kipato hata siku moja!Watu huwa tunapendana jinsi tulivyo, mrefu, mweusi, mweupe, mfupi, mnene, mwembamba, mrefu, maskini, tajiri, zeruzeru, mpole, mkali nk Hali ikijitokeza kama hivi ujue hakuna mapenzi hapo.

Asante mkuu,kuna watu humu hawaelewi chochote zaidi ya misimamo yao ya kimfumo dume tu!
 

haya bhana mi nimekubali we mbeijing kweli...ila tuachage ushabiki hivi wamama wa TAMWA kuwaoa si mtihani huo kama wanayosema na kuamini wanafanya ndoani akyamungu itakuwaje mi cjui humo ni soo....anzisha thread tutachangia hata kama ukisepa! Mi cfatilii nyendo zako usimchukue totoo bure! Sema nakuwa sensitive kwenye ishu kama hzi zinazoonekana kandamizi nione mwasemaje upande wa pili...ila kingine wengi wenu huwa mnawaburuza akina sie mkipata mahela bhana...labda we haumo(ila huo ubeijing uliojivisha nishaogopa) mamaaa kazi ipo
 

Cheo/pesa has got nothing to do with mapenzi ya wawili wapendanao!! Mnawagwaya bure tu watu wa TAMWA/lawyers, wao sanasana wamebase kwenye haki ila baadhi ya watu wanashindwa kutofautisha waambiwayo. Wengi wanashindwa kutofautisha kati ya human rights( mke) na majukumu & nafasi ya mke katika ndoa/familia yake!! Kumburuza mume ni tabia binafsi ya mtu na pengine yaweza kuwa imesababishwa na mume mwenyewe na wala sio pesa, otherwise ndoa za hivo zisingedumu!! Nakuachia mtoto huyo we endelea nae tu kwa raha zako ila chonde chonde, handle with care! Hahahahaaa am neither of such type of waburuzaji but u should avoid me lol.........najoke bana!! Mimi niko simple sana mwaya usiniogope jamani mweeh!
 
Wanainteligensia wapo kazini mdogo wangu, labda wanakufahamu ka sio kukufananisha lol!!!

Wananifananisha!Nishajibu sn kwa co mie km wanalazimishia kimpango wao!cha msingi watoe yaliyo miyoyon mwao,mie niko hapa kupata maoni na mitazamo yao ili hata nikimfungulia shost huu uzi aamin jinsi kulivyo na tofauti kati ya mwanaume na mvulana!
 
Wananifananisha!Nishajibu sn kwa co mie km wanalazimishia kimpango wao!cha msingi watoe yaliyo miyoyon mwao,mie niko hapa kupata maoni na mitazamo yao ili hata nikimfungulia shost huu uzi aamin jinsi kulivyo na tofauti kati ya mwanaume na mvulana!

Mi nilidhani majibu ya hili suali yameshatosha ati!!! Enways huyo jamaa hata mkimpigia kwa number nyingine hapokei??
 

Kimsingi sidhani kama jamaa anafikria straight, kwanini uombe salary slip ya mwenzio?????, Pili jamaa amefika mwisho hana vision kwamba kuna siku kipato chake kitakuwa kikubwa zaidi ya leo inshort amedumaa kimawazo?????

Na jee akioa mke mwenye kipato cha kawaida na baadaye bibie mambo yakawa safi kipato kikawa maradufu jamaa anakimbia tena duuuuuu-----------------!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Migodi mingine bhana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…